Pages


MFANYABIASHARA MKOANI MBEYA AKUTWA AMEFARIKI NDANI YA SHIMO LA CHOO,

Kamanga na Matukio | 04:13 | 0 comments
Na mwandishi wetuBariki Sanga mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Uyole jijini Mbeya ambaye alikuwa akifanya biashara ya ulanguzi wa mpunga katika kijiji cha Wimba mahango kata ya Igurusi amekutwa akiwa amefariki dunia ndani ya shimo la Choo huku mwili wake ukiwa umeharibika vibaya. Mwili wake umekutwa ndani ya choo ukiwa umewekwa kwenye gunia na kufungwa na nguo mbalimbali jana majira ya saa kumi za jioni baada ya ndugu na marafiki kumtafuta kwa zaidi ya wiki moja. Kutokana na tukio hilo mwenyekiti wa kijiji hicho bwana Witson Kazimoto amewataka wananchi wa kijiji hicho washirikiane na Jeshi la polisi ili kuweza kumpata Bariki Mbariko ambaye anadaiwa kuwa mara ya mwisho alikuwa na marehemu...

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUNASWA NA UMEME MBEYA

Kamanga na Matukio | 03:27 | 0 comments
Na mwandishi wetuMtoto Atanasi Aloni mwenye umri wa miaka 13 na mwanafunzi wa shule wa darasa la nne shule ya msingi Msongwi amefariki dunia baada ya kunaswa na umeme akiwa kwenye harakati ya kukata matawi ya miti iliyokuwa jirani na nyaya za umeme. Tukio hilo limetokea leo hii majira ya saa 3 kamili za asubuhi ambapo mtoto huyo akiwa na kaka yake Ezekiel alifikwa na mauti baada ya tawi alilokuwa analikata kundondokea kwenye umeme wa gridi ya Taifa eneo la Pipe line kata ya Mwakibete jijini hapa. Habari zaidi zinadai kuwa kabla ya mtoto huyo kufikwa na mauti alikuwa na mama yake mzazi shambani wakipanda mahindi na muda mfupi ndipo kaka yake limwita na kumuomba mdogo wake apande juu...

HALI YA TUNDUMA BAADA YA AJALI YA MOTO NI MAJONZI, RC AWAPA POLE

Kamanga na Matukio | 03:26 | 0 comments
Mkuu wa mkoa wa Mbeya akizungumza na wafanyabiashara wa Tunduma baada ya tukio la ajali ya Moto  jana jioni ambapo amewapa pole kutokana na maafa hayo. Watu wakiokota mabaki ya vitu vilivyoungua kwenye maduka ya eneo la TUNDUMA maarufu kama Mansese Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro akitembelea eneo ambako moto umetekeza maduka katika mji wa Tunduma Moto ukiendelea kuwaka kutokana  na ajali iliyotokea jana jioni na kusababisha...

MOTO MKUBWA WATEKETEZA SOKO LA KISIMANI - TUNDUMA - MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:51 | 0 comments
Mkuu wa wilaya ya Mbozi Bwana Gilbert Kimolo akipewa maelekezo na mikakati ya kudhibiti moto uliokuwa ukiendelea katika soko la Kisimani mji mdogo wa Tunduma.***** Na Ezekiel Kamanga Moto mkubwa umeteketeza kabisa soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma wilaya mpya ya Momba mkoani Mbeya, jana na kusababisha hasara kubwa ya mali kuteketea na baadhi ya watu kujeruhiwa. Zaidi ya wafanyabiashara elfu moja wameathiriwa kiuchumi kutokana na moto...

SOKO LA KISIMANI MJI MDOGO WA TUNDUMA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO.

Kamanga na Matukio | 05:34 | 0 comments
Soko la Kisimani lililopo mji mdogo wa Tunduma, wilaya ya mpya ya Momba mkoani Mbeya limeteketea kwa moto hapo jana kuanzia majira ya Saa 10 jioni na kusababisha hasara kubwa ambapo vibanda vya biashara na maduka yameteketea kwa moto huo. Chanzo hakijaweza kubainishwa lakini inadaiwa kuwa Umeme uliporudi baada ya kukatika ndipo moto ulipoanza katikati ya Soko hilo Vibanda vilivyokuwa vimejengwa kwa mbao vimeteketea na kubakia masalia ya mabati...

UKATILI DHIDI YA VIKONGWE KWA IMANI ZA KISHRIKINA ULIOKUWA UMESHAMIRI MIKOA YA KASKAZINI SASA VYASHAMIRI MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:57 | 0 comments
Mzee Asumwisye Mwakambinda mwenye umri wa miaka 60(Pichani), akiwa hoi jana siku ya jumapili baada ya kupingwa na wananchi wenye hasira kali Kitongoji cha Ikuti kata ya Iyunga, jijini Mbeya wakimtuhumu kujihusisha na inami za kishirikina. Mkuu wa kituo cha polisi cha Iyunga(kushoto) na Mwenyekiti wa kitongoji cha Ikuti Bwana Emanuel Mwasote(katikati mwenye shati ya pink) wakijaribu kuokoa maisha ya Mzee Asumwisye Mwakambinda mwenye umri wa miaka...

WATUHUMIWA WATATU WA KUMILIKI NOTI BANDIA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MIL 559,000/= WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA MARA YA PILI KATIKA MAHAKAMA YA MKOA WA MBEYA

Kamanga na Matukio | 06:05 | 0 comments
Na mwandishi wetuWatu wa tatu wakazi wa Uyole jijini Mbeya wamepandishwa kizimbani kwa mara ya pili jana katika mahakama ya mkoa wa Mbeya, kusomewa shtaka la kumiliki noti bandia zenye thamani ya shilingi milioni tano, laki tano na elfu hamsini na tisa.Akisoma kesi hiyo mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Mkoa Mbeya mheshimiwa Fransis Kisheny na  mwanasheria wa serikali Grifin Mwakapeje amesema mnamo Novemba 17, mwaka huu  Emmanuel Mwandugule na Faraja Mwakibanza walikutwa na noti bandia zenye thamani ya  shilingi milioni tano na elfu tisa zilizo na namba mbili Noti zenye namba 142 BN 49393 na 268 BN 7949398.Hata hivyo inadaiwa watuhumiwa hao walikimbia baada ya kuachiwa kwa...

BAADA YA NYUMBA YAKE KUTEKETEZWA KWA MOTO KUTOKANA NA KUJIHUSISHA NA IMANI ZA KISHIRIKINA, MWENYEKITI WA MTAA AHAMIA MTAA WA PILI KWA DADA YAKE NAKO AFUATWA NA SAMANI ZAKE KUTEKETEZWA MOTO NA WANANCHI - MBEYA

Kamanga na Matukio | 06:00 | 0 comments
 Vyombo na samani za aliyekuwa Mwenyekiti wa mtaa wa Igoma A, kata ya Isanga jijini Mbeya Bwana Juma Kahawa vilitolewa nje hapo jana kabla ya wananchi wa Igoma B nyumbani kwa dada yake Bi Mary James mwenye umri wa miaka 50 ambaye pia ni balozi wa mtaa huo, ambako Bwana Kahawa amehamia ndipo wananchi wa mtaa huo kuamua kuviteketeza kwa moto kwa madai kuwa hawamtaki Bwana Kahawa kuhamia mtaani kwao kutokana na kujihusisha na imani za kishrikina.Umati...

MKURUGENZI NA MEYA JIJI LA MBEYA KUCHUKULIWA HATUA KISA, KUWA VINARA WA VURUGU ZA MWANJELWA NA KUMSINGIZIA KANDORO.

Kamanga na Matukio | 05:56 | 0 comments
MKUU WA MKOA WA MBEYA ABBAS KANDORO * N i kutokana na kupimana nguvu za maamuzi Na, Gordon Kalulunga, Mbeya Maaskofu,Wachungaji na wanataaluma mkoani Mbeya wametoa tamko la kumtaka Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, kuwachukulia hatua za kinidhamu Meya wa Jiji la Mbeya, Athanas Kapunga na Mkurugenzi wa Jiji hilo Juma  Idd kutokana na kuwa chanzo cha vurugu zilizotokea jijini hapa hivi karibuni Tamko hilo limetolewa leo katika Kongamano...

WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA DHANDHO WACHAPANA KAVUKAVU BAADA YA KUDHURUMIANA UJIRA WA SHILINGI ELFU MOJA.

Kamanga na Matukio | 05:44 | 0 comments
 Wafanyakazi wa DHANDHO eneo la Kadege jijini Mbeya wakipigana makonde ndani ya kampuni hiyo baada ya kudhurumiana malipo ya ujira shilingi elfu moja, Licha ya sakali kuwepo alishindwa kuchua hatua ya kudhibiti na mpaka pale wafanyakazi wengine walivyoingilia kati kudhibiti ugomvi huo. Mtandao huu umeshuhudia vijana hao hao wakidundana kwa siku mbili mfululizo, bila uongozi wa kampuni hiyo kuchukua hatua za kinidhamu dhidi yao. Je, kampuni...

WAJASIRIAMALI KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KUANZIA NOVEMBA 28, MWAKA HUU MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:31 | 0 comments
 Wajasiriamali mkoani Mbeya kunufaika na mafunzo ya siku tatu ya ujasiriamali yatakayotolewa na kampuni ya Dimod Integrated Solution and Awareness kuanzia siku ya Jumatatu Novemba 28 hadi Novemba 30, mwaka huu siku ya Jumatano, Pichani ni gari ya matangazo ya kampuni hiyo likiwa eneo la Kadege jijini Mbeya jana likitoa matangazo ya mafunzo hayo  yatakayotolewa katika Ukumbi wa Mkapa jijini hapa. Kampuni inatotoa mafunzo ya ujasiriamali...

ABIRIA 25 WANUSURIKA KATIKA AJALI MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:23 | 0 comments
 Baadhi ya majeruhi akiwemo Bi Philomena Fredy (aliyeketi chini) mara baada ya kutoka ndani ya gari ya abiria aina ya Costa yenye nambari za T 621 BQH wakisubiri msaada wa kwenda Hospitali kupewa huduma ya kwanza baada ya gari yao kugongana na gari ya mizigo aina ya Scania yenye nambari za usajili T 783 ATQ eneo la Kalasha wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya jana majira ya saa moja usiku. Mmoja wa abiria akitoa mizigo yake ndani gari ya abiria...

GARI LILILOIBIWA NYUMBANI KWA MKURUGENZI WA KAMPUNI YA BABLO YAKAMATWA JIJINI MBEYA NA JESHI LA POLISI.

Kamanga na Matukio | 04:50 | 0 comments
Jeshi la polisi mkoani Mbeya limefanikiwa kukamata gari iliyoibiwa kitongoji cha Ichenjezya wilayani Mbozi yenye nambari za usajili T 669 DCK aina ya Toyota Prado inayomilikiwa na Kampuni ya Bablo yenye makao makuu wilayani humo mkoani humo na kukamatwa jijini Mbeya. Gari hiyo iliibiwa majira ya saa tano asubuhi Novemba 23, mwaka huu, nyumbani kwa Mkurugenzi wa kampuni hiyo ambapo ndani ya gari kulikuwa na watoto wawili ambao walitelekezwa njiani. Kwa upande wake Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Advocate Nyombi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo la ujambazi na kwama watu wawili wanashikiliwa na Jeshi hilo la polisi.  Hata hivyo imedaiwa kuwa hilo ni tukio la pili kutokea ambapo la kwanza...

WANANCHI WACHOMA MOTO NYUMBA MBILI YA MWENYEKITI WA MTAA NA MGANGA KWA KILE KINACHODAIWA KUJIHUSISHA NA IMANI ZA KISHIRIKINA MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 02:56 | 0 comments
 Wananchi wa mtaa Ilolo Igoma A Kata ya Isanga  jana mchana wamezichoma moto na kuzivunja Nyumba mbili ya Mwenyekiti wa mtaa huo Bwana  Juma Kahawa na ya Mganga Mfipa kufuatia tamko la wananchi kuwataka wahame kwa kile kinachodaiwa kujihusisha na imani za kishirikina.  Wananchi na wanafunzi wakiwa eneo la tukio ambapo wananchi hao jana mchana kuzicho moto na kuzivunja Nyumba mbili ya Mwenyekiti wa mtaa huo Bwana ...

MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA NYUMBA ALIYOKUWA AKIISHI KUCHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA MKOANI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 02:54 | 0 comments
 Kamanda wa polisi wa mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi.*****Na mwandishi wetu Mkazi mmoja wa Mbambo wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Lastoni Mwangosi anayekadiriwa kuwa na miaka kati ya 40 hadi 50 amefariki dunia baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kuchomwa moto na watu wasiofahamika. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi amesema Bwana Mwangosi amefikwa na mauti jana majira ya saa...

DALADALA YA ITV YAFANA MKOANI MBEYA KUPITIA ZIARA YAO.

Kamanga na Matukio | 05:25 | 0 comments
Wanachuo wa TIA Mbeya wakiingia katika Daladala, inayomilikiwa na kituo cha televisheni cha ITV katika ziara yao mkoani Mbeya hapo jana, ambapo wanavyuo hao walipata fursa ya kuweza kuchangia maoni yao kupiti mada zinazoendeshwa na kipindi cha Daladala kinachorushwa ITV kila siku kuanzia saa Kumi na mbili na nusu jioni hadi saa moja kamili usiku na watangazaji wawili Bi Kiroboto na Bwana Daniel Kijo.  Mtangazaji wa Kipindi cha Daladala kinachorushwa...

BI ROSE MUHANDO AVURUGA MKUTANO WA INJILI KWA KUTOKUFIKA, LICHA YA KULIPWA MILIONI 2.5 MKOANI MBEYA

Kamanga na Matukio | 05:05 | 0 comments
Baada ya kupewa mwaliko wa kutoa huduma ya neno la Mungu katika mkutano wa Injili  mkoani Mbeya na kushindwa kufika kwa Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bi Rose Muhando, Pichani juu ni Bwana Riziki Mwakapugi akionesha stakabadhi za malipo ya benki(Pay in slip) ya shilingi milioni mbili nalaki tano zilizotumwa kwenye akaunti ya Mwimbaji huyo, kupitia benki ya Barclays. Mkutano huo wa injili ulioanza Novemba 18 hadi 20, mwaka huu  uliandaliwa...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger