Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh. Abbas Kandoro*****Na mwandishi wetu.Wanafunzi wawili wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Sange iliyopo kata ya Sange wilayani Ileje wameacha masomo na kuamua kuoana ambapo hadi sasa wanaishi kama mume na mke.
Hayo yamebainika baada ya mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro kufanya ziara maalumu ya kujitambulisha wilayani humo ambapo pia alitembelea kujionea hali ya ujenzi wa shule ya msingi Sange.
Akiwa...
NEW VIDEO:- CHRIS BEE - SIENDI MBALI
6 years ago