Pages


WANANDOA WAWILI WAKAZI WA MTAA WA BLOCK T JIJINI MBEYA WASABABISHA KUVURUGIKA IBADA.

Kamanga na Matukio | 06:22 | 0 comments
*Ampiga Mke wake, Mke akimbilia Kanisani. *Mchungaji aacha Mahubiri na kuamulia Ugomvi, *Waumini wamfikisha Mume Kituo cha Polisi Mwanjelwa afunguliwa RB na jalada.i. Imetokea katika Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (T.A.G) Mtaa wa Block T jijini Mbeya. Ambapo sakata hilo lilianza nyumbani pale Mme anayejulikana kwa jina la Lusekelo muumini wa Dini ya Kiislamu alipo Mkewe anayefahamika kwa jina la Bahati avae vazi la Khanga ndipo Mwanamke huyo alivyo kaidi na kuvaa Kitenge kitendo kilicho muudhi Mmewe na kuanza kumpiga. Baada ya kuona kichapo kikizidi Mwanamke huyo aliamua kukimbilia katika Kanisa hilo la Mchungaji Angolwisye Mwasunda akiwa Madhabahuni, hali iliyofanya ibada kuvurugika...

MADUKA HAYA NDIO YALIYOVUNJWA ENEO LA INYALA NA KUPELEKEA MWANANCHI WA NNE KUSHIKILIWA NA JESHI LA POLIS KWA TUHUMA ZA MAUAJI YA MTU MMOJA.I

Kamanga na Matukio | 05:29 | 0 comments
 Duka hili lina milikiwa na Bwana Musa Mwanabeya ambaye ni mmoaja kati ya watu wa nne waliomuuaji kijana moja hakufahamika jina lakini ni mkazi wa Uyole jijini Mbeya. Hali kadharika na hili linamilikiwa na Bwana Musa Philemon ambaye naye ni Muuaji.  Na hili linamilikiwa na Bwana Japhet Walenjela ambaye naye ni muuaji *Watu wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya.*Hali hiyo ndio iliyopelekea wananchi 11 kati ya 1200 wanashikiliwa...

SERIKALI JIJINI MBEYA TAZAMENI HILI JAMANI KUNUSURU MAGONJWA YA MLIPUKO NA AMBUKIZI

Kamanga na Matukio | 05:10 | 0 comments
Dampo hili ni hatari kwa wanafunzi kwani lipo jirani na Shule ya Msingi Mwenge, eneo la Soweto jijini Mbeya kwani watoto wamekuwa wakikusanyika na kuokote mazagazaga kibao kama Nyembe ambazo huokota kwa ajili ya kukatia kucha na kuchongea Penseli, Nywele na Masalia ya vyakula. Eneo hili ki ukweli limekithiri kwa uchafu haifahamiki takataka huzolewa saa ngapi kwani wakati wowote ukipita hakuna unaf...

BREAKINGNEWSSSSSS....... AMPIGA MKE WAKE. NA MKE KUKIMBILIA KANISANI NA KUSABABISHA IBADA KUVURUGIKA

Kamanga na Matukio | 05:30 | 0 comments
Imetokea katika Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (T.A.G) Mtaa wa Block T jijini Mbeya, Mchungaji aacha Mahubiri aamulia ugomvi. Washarika waamua kumpeleka Kituo cha Kati cha Polisi Mwanamke awashukuru waumini kwa kumuok...

UNYAMA HUU MBEYA MPAKA...................??

Kamanga na Matukio | 05:24 | 0 comments
 Marehemu NASIB EXZAVERY maalufu kama Mkemia akiwa amechomwa moto eneo la viwanja vya Shule ya Msingi Mwenge Jijini Mbeya kwa kosa la wizi wa kuku ambaye Mwenye Kuku huyo hajafahamika.  Marehemu NASIB pamoja na Kuku waliodaiwa kuwaiba na kumsababishia kifo. Inasikitisha sana Jeshi la Polisi likiwa limefika eneo la Tukio kuuchukua Mwili wa marehemu na kuupeleka katika hospitali ya Rufaa mkoani Mbeya Gari hili ndilo linalodaiwa...

ALIYEIBA SIMU ATOZWA FIDIA NA SIMU YAACHA KULIA TUMBONI

Kamanga na Matukio | 05:08 | 0 comments
 Simu iliyoibiwa Mama mzazi Bi CHRISTINA MWAKALONGE Mwenyekiti wa Mtaa Bwana ASIFIWE MWAKALONGEKaka wa muhanga wa tukio hili Bwana DANIEL MWASYOGEMwenye simu aliyejulikana kawa jina la Japhet Muhabe mkazi wa Mbalizi amepokea fidia ya shilingi elfu 60,000/= kutoka kwenye familia ya Mwasyoge na kuichukua simu yake  aina ya HUAWEI yenye thamani ya shilingi 25,000/= hivyo simu kuacha kulia tumboni kwa mtuhumiwa wa wizi wa simu hiyo...

WATU 11 WANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA KWA KOSA LA KUFANYAMAANDAMANO BILA KIBALI

Kamanga na Matukio | 04:54 | 0 comments
 Wananchi wa kijiji cha Inyara wilaya ya Mbeya vijijini walifunga njia baada ya Maandamano siku ya jumapili kushinikiza Jeshi la polisi kuwaachia huru wananchi nne wanaotuhumiwa kwa mauaji ambao ni Musa Mwanabeya, Musa Philemon, Japhet Walenjela na Mwashinga Lazima,Jeshi la Polisi katika Maandamano hayo linawashikilia watu Kumi na mmoja wakiongozwa na Bwana SAMWELI TARIANI mwenye umri wa miaka 50 kwa kosa la kufanya maandamano bila kiba...

BREAKING NEWSSSSS:- BAADA YA KUIBA SIMU, IKIPINGWA SIMU YAITA TUMBONI

Kamanga na Matukio | 06:01 | 0 comments
 Kijana mmoja mkazi wa kitongoji cha DDC Mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya, Mkoani Mbeya Bwana GOODSON MWASYOGE amejikuta yupo katika wakati mgumu baada ya kuiba simu ya mfanyabiashara eneo hilo baada ya wiki moja simu hiyo imekuwa ikilia tumboni baada ya kupigwa. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa Bwana ASIFIWE MWAKALONGE amethibitisha kwa tukio hilo akiwa sambamba na mjumbe Bwana MOHAMMED SAID. Wakati huo huo Kaka wa muhanga wa tukio hili...

WAKULIMA WA PARETO NA KAHAWA WILAYA YA MBEYA WAUONA UONGOZI WA WILAYA NA MKOA KUTAFUTIWA UFUMBUZI WA KIABIASHARA

Kamanga na Matukio | 05:50 | 0 comments
 Wananchi kutoka vijiji vya Ilembo, Pashungu , Italazia, Masoko Shola Izuo na Igale kutoka wilaya ya Mbeya vijiji wakiwa mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya wakiwa wamekodo Lori picha ya chini kufikisha Kero zinazowakabili. Gari hili walilikodi kwa shilingi Laki tatu kusafiri mpaka kwa Mkuu wa wilaya kupinga  Serikali kumteua mnunuzi mmoja tu kununua pareto, kuuzwa kwa bei ya chini ambayo inaunzwa kwa shilingi 1,800/= za Kitanzania ...

UCHAGUZI WA AWALI WA KUWAPATA WACOMBEA WA UDIWANI CCM KATA YA NZOVWE WAKAMILIKA

Kamanga na Matukio | 05:12 | 0 comments
Harakati za awali kuelekea kupata wagombea wa udiwani katika uchaguzi mdogo katika Kata ya Majengo na Nzovwe jijini Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea vizuri baada ya chama hicho kukamilisha uchaguzi wa awali wa wagombea. Akizungumza na mwandishi wetu Katibu wa CCM Wilaya ya Mbeya Mjini Bi.Bahati Makalanzi amesema kura za maoni za Kata zimeshafanyika na kwamba wagombea wote watajadiliwa ili kupitishwa katika vikao vya halmashauri...

SHILINGI 10,000/= ZA KITANZANIA FAINI KWA MWANANCHI ATAKAYE ACHA MAENEO YAKE KATIKA HALI YA UCHAFU ILOMBA JIJINI MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:11 | 0 comments
Maafisa mazingira jiji la Mbeya kesho watafanya ukaguzi wa maeneo ya kata ya Ilomba ambapo faini isiyopungua shilingi elfu kumi itatozwa kwa mwananchi ambaye atabainika kuacha maeneo yake katika hali ya uchafu. Akiongea na mwandishi wetu mmoja wa wafanyabiashara wa maeneo ya Mama John Geofrey Muhema amesema kitendo cha wafanya biashara kufanya usafi katika maeneo yao kinatokana na agizo lilotolewa na uongozi wa halmashauri la kumtaka kila mtu kufanya...

WATU WATATU WAKAMATWA NA KETE 180 ZA BANGI TUNDUMA

Kamanga na Matukio | 06:17 | 0 comments
Watu watatu wakamatwa na kete 108 za bangi mtaa wa tukuyu wilayani Mbozi, walikamatwa na askari mwenye namba E3843 Kikosi cha upelelezi anayeitwa Greyson na wenzake  wakiwa doria. Waliokamatwa ni Joshua Mwanange(25) mkazi wa Tukuyu, Frank Simfukwe (19) Mkazi wa Tukuyu Tunduma na Juma  Charles (20) mkazi wa Tukuyu Tunduma wote kwa pamoja wamekamatwa na kete hizo zenye uzito wa kilo gramu 500. Watuhumiwa wapo mahabusu wilayani Mbozi watafikishwa mahakamani mara baada ya upelelezoi kumili...

HUU NDIO UKARABATI WA BARABARA ZETU MBEYA BWANA

Kamanga na Matukio | 05:52 | 0 comments
Huku Serikali ikipiga kelele ukosefu wa Pesa baadhi ya wayendaji wametafuta mianya ya kufuja pesa, kwa kukarabati barabara jijini Mbeya Isanga na Meta kwa kumwaga kokoto za milimita 5 bila lami wala saruji hivyo kuhatarisha wananchi wanaoishi eneo hilo kuvunjwa vioo vya nyumba zao baada ya magari kupita kwa kasi kutokana na madhara ya mawe hayo kuruka ambapo yamemwangwa na halmashauri ya ji...

UTITILI WA MAKANISA MKOANI MBEYA HAYAKATI KIU YA MATUKIO YA UOVU

Kamanga na Matukio | 05:46 | 0 comments
Makanisa kibao kila mtaa Mbeya lakini Vituko vya maavo ni kibao, Kanisa hili lipo karibu na eneo la tukio ambapo KIKONGWE ALALA NA MAITI SIKU 6 AKIDAI ALIKUWA HAJUI LOLOTE, ARIPOTI MSIKITINI KUWA ANADHANI KUNA MAITI NYUMBANI MWAKE!   Picha kamili hapo angali habari zinazofuata hapo Chini.&nb...

GARI LAINGIA DUKANI WAKATI WAKIFUKUZWA NA TRA MBEYA.

Kamanga na Matukio | 05:41 | 0 comments
Na Ezekiel Kamanga. Binti Oliva Myamba (20) akipewa pole na wananchi waliokuwepo eneo la tukio baada ya gari hilo hapo juu kupoteza mwelekeo na kuingia katika duka alilokuwa akiuza eneo la Magege Darajani Jijini Mbeya. Katika ajali hiyo watu watatu wamenusurika kufa huku wawili wakikimbizwa katika hospitali ya Rufaa ya Mbeya kwa ajili ya matibabu zaidi akiwemo Imelda Alex (22). Gari lililohusika na ajali hiyo lilikuwa likiendeshwa na dreva wake...

KIKONGWE ALALA NA MAITI SIKU 6 AKIDAI ALIKUWA HAJUI LOLOTE, ARIPOTI MSIKITINI KUWA ANADHANI KUNA MAITI NYUMBANI MWAKE!

Kamanga na Matukio | 05:36 | 0 comments
 MAANDALIZI YA KUUTOA MWILI WA MAREHEMU  MASHUHUDA WA TUKIO HILO KATIKA MTAA WA ILOLOMAANDALIZI YA KUUZIKA MWILI WA MAREHEMU MAANDALIZI YA KUUZIKA MWILI WA MAREHEMU  IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU SALEHE BAADHI YA WAUMINI WA MSIKITI WA SOWETO WAKINAWA BAADA YA MAZISHI IMAMU ELIASA SELEMANI WA MSIKITI WA SOWETO JIJINI MBEYA AKIMWOMBEA DUA MAREHEMU KWA MWENYEZI MUNGU * Yasemekena aliwahi kumuua mkewe na kufungwa...

MGOGORO WA KAPUNGA UNATATULIKA KI URAHISI, SERIKALI INAPASWA KUFANYA JITIHADA ZA HARAKA ILI KULETA MAENDELEO.

Kamanga na Matukio | 05:56 | 0 comments
Meneja uzalishaji wa Kapunga Rice Project Bwana SERGEI BEKKER akielezea ramani ya Mashamba ya Kapunga. Mpunga unapoanzia.Na hizi ni Baadhi ya mashine zinazotumika kukoboa Mpunga.Mashine ambayo hupanga Madaraja matatu tofauti, Daraja I, II na IIIEneo la wazi ambalo halijalimwa na Mwekezaji Sehemu ya mashamba ya Mpunga yakionekana kwa juu Sehemu ya shamba ambalo limelimwa na hukodishwa na Mwekezaji kwa Wananchi Mashine za kuhifanzia Mpunga ambazo...
Pages (14)1234567 Next
 
Support : Creating Website | Greyson Salufu Template | Chimbuko Letu Inc
Copyright © 2011. Kamanga na Matukio - All Rights Reserved
Template Modify by Chimbuko Letu Inc
Proudly powered by Blogger